Man united waonekana wameshinda mbio za kumsajili Matthijs De Light baada ya kuchuana vikali na klabu ya Barcelona na wako tayari kutoa dau la paun million 70 na mshahara wa pauni laki 350 kwa wiki ,kiasi ambacho Barca hawakuwa na uwezo nacho na hawako tayari kulipa kiasi hicho
Pia source ya habari inasema Barcelona wameshindwa kulipa ada ya wakala wa mchezaji huyo Mino Raiola kiasi cha pauni million 12 .Na Man United wamekubali kulipa hicho kiasi kwa wakala huyo
Pia kilichoongeza uwezekano wa mchezaji huyo kuamia Man united ni pale alipoonekana kulike picha ambayo ilitumwa na Rio Fredinand kwenye twiter
Pia source ya habari inasema Barcelona wameshindwa kulipa ada ya wakala wa mchezaji huyo Mino Raiola kiasi cha pauni million 12 .Na Man United wamekubali kulipa hicho kiasi kwa wakala huyo
Pia kilichoongeza uwezekano wa mchezaji huyo kuamia Man united ni pale alipoonekana kulike picha ambayo ilitumwa na Rio Fredinand kwenye twiter