Sunday, 2 August 2015

D'MARIA KUFANYA VIPIMO VYA AFYA LEO

Kiungo machachari wa Man united anatalajiwa kufanyiwa vipimo vya leo hii ndani ya saa 24 katika mji wa dubai tayari kuijiunga na timu ya PSG ya Ufaransa kwa ada ya isiozidi paun milioni 44.3

Man Utd agree £44.5m Di Maria sale to PSG

No comments:

Post a Comment