Sunday, 2 August 2015

AZAM BINGWA KAGAME CUP

Timu ya Azam fc imefanikiwa kuchukua ubingwa wa Kageme Cup baada ya kuifunga timu ya Golmahia fc ya kenya kwa jumla ya magoli mawili kwa bila majibu magoli hayo yaliweza kufungwa na Jonh Bokko pamoja nae Kipre Cheche katika vipi vyote viwili ,



No comments:

Post a Comment