Monday, 13 July 2015

KIPA MAN UNITED AGOMA KUONDOKA





Kipa namba mbili wa manchester united VICTOR VALDES amegoma kuondoka katika klabu hiyo na kusisitiza kuwa atabaki klabuni hapo maneno hayo yamesemwa na wakala wake kufuatia uvumi ulizagaa kwenye vyombo vya habari kuwa ataondoka kuelekea uturuki 

No comments:

Post a Comment