Friday, 6 January 2017

morgan schneiderlin na depay wanaweza kuondoka mourihno asema

kiungo mkabaji wa manchester united morgan schneiderlin pamoja na kiungo mshambuliaji wa united memphis depay wanaweza kuondoka wakati wowote kama offa staiki itatokea ,
hao yamesemwa na kocha wa mashetani wekundu man united wakati wa press conference kuelekea katika mchezo wa kombe la FA wakicheza na Reding inayonolewa na beki kisiki wa zamani wa united jap stam

"hali yao iko sawa kwa wote wawili ,na nitawaruhusu kuondoka kama ofa sahihi itatokea lakini mpaka sasa hapana offa yoyote ,
je ni vizuri? hapana kwa nn hapana ?kwa sababu siwafikilii tena kama ni wachezaji  mbadala kwenye kikosi changu .Kwa kawaida ningewachagua kwa mechi ya kesho lakini hapana kwa sababu tunasubiria kitu ambacho kwa wiki chache zilizopita kilikuwa 100% lakini si kwa sasa"  alisema mourihno

lakini pia wachezaji hao wanahusishwa na kutua kwa mkopo katika klabu ya Everton


No comments:

Post a Comment