Mchezaji wa eneo la ulinzi wa Liverpool mwamba Mamadou Sakho
anachunguzwa na shirikisho la mchezo wa soka barani ulaya(UEFA)baada ya
kufeli vipimo vya madawa ya kuongeza nguvu michezoni.
Sakho alinunuliwa kutoka PSG kwa ada ya pauni milioni 18 mwaka
2013,ameichezea Liverpool michezo 34 katika mashindano yote,timu yake
inashika nafasi ya saba kwenye msimamo wa ligi kuu ya England
inategemewa kuialika Newcastle United kwenye uwanja wa Anfield Jumamosi
ya leo.
No comments:
Post a Comment