kiungo mtukutu wa uingeleza JOE BARTON ajiunga na RANGERS FC ya Scotland mchezaji huyo ambaye ana miaka 33 amekubali kujiunga na timu iyo akitokea katika timu ya bunlery ambaya ina pambana kurudi katika ligi kuu
'ni maamuzi magumu sana kuama england asa katika kipindi hiki kigumu amba timu yangu inapambana kuingia kati ligi kuu msimu ujao lakini sina cha kufanya zaidi kuacha maisha yaendelee kama yalivyo ' alisema mchezaji huyo


'ni maamuzi magumu sana kuama england asa katika kipindi hiki kigumu amba timu yangu inapambana kuingia kati ligi kuu msimu ujao lakini sina cha kufanya zaidi kuacha maisha yaendelee kama yalivyo ' alisema mchezaji huyo


No comments:
Post a Comment