Arsenal wakamilisha usajili wa Granit Xhaka kutoka Borussia Monchenglabach kwa ada ya kiasi cha paun millio 33.1,
mchezaji huyo amefanyiwa vipimo vya afya ili kukamilisha dili lake na atavaaa jezi namba 34 iliyokuwa inavaliwa na cocoline ambaye amekubali kubadilisha jezi yake
'nafurahi kujiunga na Arsenal ni timu nzuri na naaamini nitatimiza ndoto zangu hapa " alisema mchezaji huyo



mchezaji huyo amefanyiwa vipimo vya afya ili kukamilisha dili lake na atavaaa jezi namba 34 iliyokuwa inavaliwa na cocoline ambaye amekubali kubadilisha jezi yake
'nafurahi kujiunga na Arsenal ni timu nzuri na naaamini nitatimiza ndoto zangu hapa " alisema mchezaji huyo



No comments:
Post a Comment