Wednesday, 25 May 2016

Mourihno aaanza kuchokonoa wenga

Imebaki kidogo tu man united wamtangaze jose mourinho kama kocha wao ,nae inasemekana kuanza mipango yake ya usajili na tayari ameanza kutupia macho beki tegemeo wa Arsenal kocsienly na kusema anataka kumsajili na kumpeleka united

No comments:

Post a Comment